Saidia Wasiojiweza
Fundraising campaign by
Ramadhani Shabani
-
US$0.00raised of $1,500.00 goal goal
No more donations are being accepted at this time. Please contact the campaign owner if you would like to discuss further funding opportunities
Campaign Story
Mimi Ramadhani Shabani ni Kijana Wakitanzania mwenye kuguswa na matatizo ya waajamii wasiojiweza na leo nawaletea kijana Wakitanzania Adam Mussa, maskini mwenye matatizo yakiafya anaehitaji kufanyiwa upasuaji wa nyonga lakini kakwama kimatibabu kutokana na ukosefu wa pesa.
Nimeamua kulileta jambo hili kwenu wana jamii ili tuweze kumchangia pesa kwaajili ya matatibabu yake. Unaruhusiwa kutoa pesa tasilimu, au kumlipia gharama za upasuaji moja kwa moja katika hospitali.
Kijana huyu anamaumivu makali sana kwani nyonga zake zimesagika na anatakiwa kuwekewa nyonga za bandia. Nimatumaini yangu kuwa kila atakaesoma ujumbe huu ataguswa na atakuwa tayari kumsaidia kijana huyu wa Kitanzania.
Wanadamu sote ni ndugu, tumetokana na Nabii Adam, asili yetu sote ni moja.
Organizer
- Ramadhani Shabani
- Campaign Owner
- Dar Es Salaam, TZ
Ramadhani Shabani Komaji ni Mtanzania mwenye kuguswa na matatizo ya wana jamii kisha huyachukua na kufikisha kwa wahisani waweze kuwasaidia wanyonge
Ramadhani Shabani Komaji ni Mtanzania mwenye kuguswa na matatizo ya wana jamii kisha huyachukua na kufikisha kwa wahisani waweze kuwasaidia wanyonge
No updates for this campaign just yet
Followers
Support Campaigns
Create a support campaign in seconds!
Support campaigns allow you to get your own fundraising page dedicated to 'Saidia Wasiojiweza'
You'll have your own unique link that you can share, and all funds raised will go directly to 'Saidia Wasiojiweza'. It's the ultimate way to show your support!
Create support campaign